Colors/rangi in Swahili

Colors/Rangi in Swahili

Nyeusi (black), nyekundu (red), nyeupe (white).

kijani (green), njano (yellow), kijivu (grey)

kahawia (brown) bluu (blue), bluu bahari (white blue), machungwa (orange) damu ya mzee (maroon)  

rangi nyeusi

rangi nyekundu

rangi nyeupe  

rangi ya kijani

rangi ya njano

rangi ya kijivu  

rangi ya kahawia

rangi ya bluu

rangi ya bluu bahari

rangi ya machungwa

rangi ya damu ya mzee

Mifano Zaidi /  More Examples

Nyumba yangu (my)  ni nyeusi (my house is black)

Nyumba yangu ni nyeupe.

Nyumba yangu ni nyekundu.  

Nyumba yangu ni ya njano.  

Nyumba yangu ni ya kijani.

Nyumba yangu ni ya kijivu.

Nyumba yangu ni ya damu ya mzee.

Nyumba yangu ni ya bluu.

Nyumba yangu ni ya bluu bahari.

Conversation 1 about Colors

MUBA: habari! unahitaji nini? (what do you need)?

MASU: Ninahitaji shati (shirt)

MUBA:Shati lipi? (which shirt)?

MASU: Shati la njano.

MUBA: Chukua hapo (take it there)

MASU: Shilingi ngapi? (how much)?

MUBA: Elfu kumi (ten thousand)

MASU: Sawa. Naomba nipatie (please give me)

Conversation 2 about color

MASALU: Mambo vipi?

AISHA: Safi, habari yako!

MASALU: Poa tu. Naomba ndoo (bucket) moja.

AISHA: Rangi gani unahitaji?

MASALU: Ndoo ya rangi nyekundu.

AISHA: Chukua hapo nje (take it outside)

MASALU: Asante sana Aisha.

AISHA: Poa, usijali.

MASALU: Kwaheri, tutaonana baadae (see you later)

AISHA: Haya!

Leave a Reply